MENEJA wa Sunderland David Moyes amejiuzulu kufuatia Klabu hiyo kushushwa Daraja kutoka EPL, LIGI KUU ENGLAND.
Moyes, mwenye Miaka 54, alimjulisha Mwenyekiti wa Sunderland Ellis Short kuhusu uamuzi wake hii Leo.
Meneja huyo, ambae aliwahi kuwa na Klabu za Everton na Manchester United, alishika wadhifa wa Umeneja hapo Sunderland Julai Mwaka Jana mara baada ya Sam Allardyce kuondoka ili kuwa Meneja wa Timu ya Taifa ya England.
Moyes, mwenye Miaka 54, alimjulisha Mwenyekiti wa Sunderland Ellis Short kuhusu uamuzi wake hii Leo.
Meneja huyo, ambae aliwahi kuwa na Klabu za Everton na Manchester United, alishika wadhifa wa Umeneja hapo Sunderland Julai Mwaka Jana mara baada ya Sam Allardyce kuondoka ili kuwa Meneja wa Timu ya Taifa ya England.
No comments:
Post a Comment