Taarifa hizi zimedai upo uwezekano mkubwa Beki huyo kutoka Ivory Coast mwenye Miaka 24 akawa Mchezaji wa 3 mpya wa Man United baada ya kuwasaini Victor Lindelof na Romelu Lukaku.
Mbali ya kutakiwa na Man United, pia zipo fununu Manchester City, AC Milan, Juventus na Barcelona pia zinamtamani Beki huyo.
Aurier, ambae aliichezea PSG Mechi 22 za Ligi 1 Msimu uliopita, amebakiza Miaka Miwili kwenye Mkataba wake na PSG.
No comments:
Post a Comment