Kylian Mbappe amejifua Vilivyo leo jumatatu na wenzake wa Timu ya Taifa Ufaransa Ufaransa Jumatatu wakati akisubiri subiri kwake kujiunga na Klabu mpya ya Paris Saint-Germain wajiandaa kukamilika uhamisho wake hivi karibuni.Mbappe ameonekana akijifua pamoja na kiungo wa Manchester United Paul Pogba pamoja na mchezaji mpya wa Arsenal Alexandre Lacazette, kabla ya kushindana kwa Kombe la Dunia siku ya Alhamisi na Timu ya Uholanzi.
Les Blues wako katika kikundi cha A.
Kylian Mbappe akiwa uwanjani wakati wa mazoezi yao kujiandaa namichuano ya kufuzu kombe la Dunia.

Akijifua vilivyo

Mbappe (kushoto) akikatiza mbele ya straika wa Arsenal Olivier Giroud leo jumatatu

Didier Deschamps akiwa karibu


Mbappe
Alexandre Lacazette
Paul Pogba
Antoine Griezmann
Akijifua vilivyo
Mbappe (kushoto) akikatiza mbele ya straika wa Arsenal Olivier Giroud leo jumatatu
Didier Deschamps akiwa karibu
Mbappe
Alexandre Lacazette
Paul Pogba
Antoine Griezmann
No comments:
Post a Comment