PICHA: YANGA WAFANYA MAZOEZI KAITABA MJINI BUKOBA LEO, KESHO JUMAMOSI KUUMANA NA KAGERA SUGAR
Wachezaji wa Timu ya Yanga ya Jijini Dar es Salaam wakijifua kwenye Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba leo hii. Yanga watacheza na Timu ya Kagera Sugar kesho jioni kwenye Uwanja huu wa Kaitaba.
No comments:
Post a Comment