
Ronaldo ameungana katika orodha hiyo na nyota wenzake wa Real Madrid ambao ni Marcelo, Sergio Ramos, Luka Modric pamoja na Toni Kroos.
Kipa Gianluigi Buffon, aliyetwaa tuzo ya kipa bora wa Fifa naye yumo katika kikosi hicho, huku Dani Alves, Andres Iniesta na Leonardo Bonucci wakikamilisha kikosi hicho.

Wachezaji wa kikosi Bora cha Wachezaji 11 wa Fifa wakipiga picha na mshereheshaji Idris Elba ambaye ni muigizaji nyota wa filamu
No comments:
Post a Comment