
Ronaldo aliyeshinda tuzo ya Ballon d’Or mwezi huu na kujitangaza kuwa ni mchezaji bora katika historia, huku baadhi ya watu wakimbeza, lakini inaonekana anaendelea kuziba midomo wanaompinga kwa kutwaa makombe.
Kwa goli hilo la Ronaldo, 32, linamfanya kufikisha magoli 7 katika michuano hiyo sawa na mfalme wa soko duniani Pele aliyefunga idadi kama hiyo ya magoli katika michuano hiyo wakati huo ikijulikana kama kombe la mataifa.


No comments:
Post a Comment