Kiwango duni cha Real Madrid katika msimu huu kimezidi kuisakama timu hiyo baada ya kutolewa katika michunano ya kombe la Copa del Rey baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Leganes katika dimba la Bernabeu.
Mabingwa hao wa Ulaya walikuwa wanaongoza kwa matokeo ya ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Leganes katika mchezo wa kwanza.
Javier Eraso alifunga goli la kwanza katika mchezo wa pili na kufanya jumla ya matokeo kuwa sare, lakini baadaye Karim Benzema akafunga na kuifanya Real iongoze kwa matokeo ya ujumla.
Laganes walipata ushindi kupitia goli la Mbrazili Gabriel hit Leganes na kuwafanya wageni hao kusonga mbele hatua ya nusu fainali kwa ushindi wa goli la ugenini. Mpaka dakika zinamalizika 90 kwenye Uwanja huo Real Madrid 1-2 Laganes.
Mshambuliaji Karim Benzema akifunga goli pekee la Real Madrid katika mchezo huo
Mabingwa hao wa Ulaya walikuwa wanaongoza kwa matokeo ya ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Leganes katika mchezo wa kwanza.
Javier Eraso alifunga goli la kwanza katika mchezo wa pili na kufanya jumla ya matokeo kuwa sare, lakini baadaye Karim Benzema akafunga na kuifanya Real iongoze kwa matokeo ya ujumla.
Laganes walipata ushindi kupitia goli la Mbrazili Gabriel hit Leganes na kuwafanya wageni hao kusonga mbele hatua ya nusu fainali kwa ushindi wa goli la ugenini. Mpaka dakika zinamalizika 90 kwenye Uwanja huo Real Madrid 1-2 Laganes.
Mshambuliaji Karim Benzema akifunga goli pekee la Real Madrid katika mchezo huo
No comments:
Post a Comment