BUKOBA SPORTS

Monday, January 29, 2018

WEST HAM YAIFUNGA LIVERPOOL KATIKA MCHEZO WA KOMBE LA FA BAO 3-2


Jay Rodriguez amefunga magoli mawili wakati West Brom ikiishinda Liverpool kwa magoli 3-2 katika mchezo wa Kombe la FA raundi ya nne uliotawaliwa na maamuzi ya kutumia msaada wa video.
Refa Craig Pawson alikataa goli la Albion, akaipa Liverpool penati na kuchelewa kwa dakika tatu kufanya maamuzi ya kuwapati goli West Ham goli la tatu hadi aliposaidiwa na refa anayetumia picha za video.
Rodriguez alifunga goli la kusawazisha baada ya Firmino kuifungia Liverpool goli la kuongoza, na kisha tena Rodriguez akaongeza goli la pili na kufanya matokeo kuwa 2-1. Joel Matib alijifunga goli la tatu baadaye Mohamed Salah akafunga goli la pili la Liverpool.


Kipa wa West Ham Ben Foster akimdhibiti Mohamed Salah kufunga goli

Refa Craig Pawson akiomba msaada wa refa wa video baada ya kushindwa kufanya maamuzi

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp akiwa amechanganyikiwa na kipigo kutoka kwa West Ham

No comments:

Post a Comment