
Kevin de Bruyne aliipatia Manchester City goli la kwanza katika kipindi cha kwanza na Raheem Sterling akaongeza la pili kipindi cha pili.


Mshambuliaji huyo Mbelgiji amekuwa hapati nafasi katika kikosi cha Conte, ambaye alisema mchezaji huyo anaweza kuondoka kwa mkopo mwezi huu. Marcos Alonso alifunga la tatu.

No comments:
Post a Comment