Kikosi cha Timu ya Kagera Sugar kilichoanza
Kikosi cha Timu ya Singida United kilichoanza dhidi ya Timu ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba leo. Picha na Faustine Ruta, Bukoba
Kulia ni Wachezaji wa Kagera Sugar wakimpongeza Mohamed Fakhi baada ya kufanikiwa kuifungia bao kwa mkwaju wa Penati Kagera Sugar kipindi cha kwanza.
Batambuze akiwa chini ya Ulinzi. 





Baadae kipindi cha pili Kocha wa Singida United, Hans Pluijm aliwapa mbinu Singida United.
No comments:
Post a Comment