Matt Ritchie akikacha baada ya kumfunga bao la pekee katika mchezo wa leo David de Dea na kuwapa bao Newcastle United jioni hii kwenye Uwanja wa St James Park ambao mpaka sasa ni kitendawili kwa Meneja wa Man United Jose Mourinho. 
Ritchie akishangilia bao lake jioni hii kwenye Uwanja wa St James Park

Shangwe kwa kupata bao

Chris Smalling ambaye ni beki wa Man United akishangaaa na kuduwaa kwa bao

Jose Mourinho ambaye hajashinda hata mechi moja katika uwanja wa St James Park katika michezo saba ya Ligi kuu Premier League.

Rafa Benitez

Martin Dubravka aliondosha mpira usizame kwenye lango lake uliopigwa na Anthony Martial

Martial akiwa chini baada ya kukosa kufunga bao

Alexis Sanchez

Jesse Lingard

Sanchez akiwa chini ya ulinzi

Sanchez chini akigombe mbili

Gayle

Jose Mourinho mpaka sasa uwanja wa St James Park unamtesa!

Kipa wa Newcastle United akinyaka mpira

Dubravka akishangilia bao

Romelu Lukaku
No comments:
Post a Comment