Friday, May 4, 2018

Atletico Madrid 1-0 Arsenal (agg: 2-1): Diego Costa aipeleka Atletico madrid Fainali

Diego Costa aliifungia bao mapema kipindi cha kwanza  Atletico Madrid na kuhakikisha Timu hiyo inasonga mbele hatua ya Fainali na Itakutana na Timu ya Marseille.
Costa akishangilia bao lake usiku kwe Europa Ligi mchezo uliochezwa usiku
Wachezaji wa Arsenal wakiwa hoi baada ya kutandikwa bao 
Meneja wa Arsenal,  Arsene Wenger akiwa hana la kufanya akijionea Vijana wake wakinyolewa bao

 Atletico Madrid wakiwapungia mashabiki wao mikono baada ya kusonga mbele

Wachezaji wa Atletico kwenye chumba cha kubadirishia nguo wakifurahia ushindi kwenye picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment