BUKOBA SPORTS

Thursday, May 3, 2012

LIGI KUU ENGLAND: MUAMBA AREJEA BOLTON KWA MACHOZI TIMU YAKE YAAMBULIA KICHAPO CHA TOTTENHAM CHA BAO 4 - 1

  Welcome back: Fabrice Muamba takes to the pitch before the match between Bolton and Tottenham
 Fabrice Muamba  akiwapungia mashabiki mkono jana kwenye uwanja wa Bolton
Fabrice Muamba alirejea Bolton usiku huu na kumwaga machozi mbele ya mashabiki baada ya kipindi kisichopungua wiki sita tangu apatwe matatizo ya moyo uwanjani na kuzimia.
 Emotional: Muamba at the ReebokKiungo huyo alitinga uwanjani wakati wa mechi ya Ligi Kuu England kati ya timu yake, Bolton dhidi ya Tottenham, timu aliyocheza nayo katika Kombe la FA wakati anazimia Mach 17.
 Overcome: Muamba's fiancee, Shauna, also wept in the stands at the Reebok Stadium
Mchumba wa Muamba (Shauna) pia alikuwepo uwanjani hapo Reebok Stadium jana kushudia pambano
Incredible recovery: The Bolton midfielder's heart stopped for 78 minutes after his cardiac arrest
Akionekana mwenye afya tele na bashasha, Muamba alitokwas machozi wakati akisalimia mashabiki kwenye Uwanja wa Reebok.
'natamani ningecheza leo,''alisema Muamba.
 Tunnel vision: Muamba looks on from the players' tunnel before heading out on to the pitchBaada ya kusalimia umati wa mashabiki, Muamba alielekea jukwaani kuishangilia timu yake.
Back in front: Rafael van der Vaart scores Tottenham's second at the ReebokMapigo ya moyo ya Muamba yalisimama kwa dakika 78,  Machi 17, lakini tiba makini aliyopatiwa na wataalamu wa moyo iliokoa maisha yake.
 Carbon copy: Emmanuel Adebayor scores Tottenham's third (above) and fourth (below) goalsAliruhusiwa kutoka hospitali ya London Chest, Aprili 16.
'Hii ni sehemu maalum: sapoti imekuwa kubwa na ninafurahia hilo,'' Muamba alisema. ''Niko sawa. Nazidi kuimarika kila siku. nafurahi kurudi, nina furaha kuweza kuzungumza na watu tena na kutembea mwenyewe.

No comments:

Post a Comment