BUKOBA SPORTS

Friday, May 11, 2012

HASHIMU LUNDENGA AKIZUNGUMZA NA WAREMBO WATAKAOSHIRIKI SHINDANO HILO LA REDD'S MISS IFM 2012

Mkurugenzi wa kampuni ya LINO Agency ambao ni waandaaji wa Shindano la Redds Miss Tz Hashimu Lundenga katikati akizungumza na warembo wanashiriki shindano la Redds Miss IFM juu ya vigezo na taratibu za kumpata mshindi kwenye fainali zinazotarajia kufanyika CINE Club jumamosi ya juma hili,Kulia ni Mwandaaji wa Redds Miss Dar Inter College na kushoto Ni afisa toka kamati ya Redds Miss Tanzania.
 Msaniii wa Bongo flava Diamond akielezea jinsi alivyojipanga kwa ajili ya kutumbuiza siku ya onyesho hilo jumamosi kwenye ufukwe wa CINE CLUB, wengine pichani ni washiriki wa miss Redd's IFM.
 
Baadhi ya washiriki wa Redd's IFM

No comments:

Post a Comment