BUKOBA SPORTS

Wednesday, July 18, 2012

BREAKING NEWS!!! MELI YA SEAGULL YAZAMA LEO HII


Taarifa zilizotufikia ni kwamba Meli ya Seagull iliyokuwa ikielekea visiwani Zanzibar ikitoka Dar es Salaam imezama muda huu. Meli hiyo ilitoka Dar es Salaam leo saa 7 mchana ikiwa na abiria karibia 200 na kuzama katika eneo la Chumbe jirani na Zanzibar. Mpaka sasa haijafahamika madhara yaliyotokana na ajali hiyo.
Mtandao wako wa http://www.bukobasports.com/ utazidi kukupa habari zaidi kuhusiana na tukio hili.

No comments:

Post a Comment