BUKOBA SPORTS

Wednesday, July 18, 2012

DUNIA YAADHIMISHA MIAKA 94 YA NELSON MANDELA.

Neslon Mandela
Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini Nelson Mandela leo anatimiza miaka 94 tangu alipozaliwa.
Siku ya kuzaliwa kwake pia inaadhimishwa na Umoja wa Mataifa kutokana na mchango wake katika kuikomboa Afrika Kusini dhidi ya utawala wa ubaguzi wa rangi.
Na nchini Afrika Kusini kwenyewe Nelson Mandela, ataadhimisha siku hii na familia yake na Marafiki huku shughuli mbalimbali zikiandaliwa nchini humo kama katika kusherehekea siku hii.
Mwandishi wa BBC wa Afrika Kusini, Omar Murtasa, amesema kuwa Mzee Mandela anaheshimiwa na watu wengi nchini humo, wakitambua juhudi zake za kupigania Uhuru wa Taifa hilo lilolokuwa likiongozwa kirasmi na Ubaguzi wa rangi.

Ripoti zinasema raia wa nchi hiyo hii leo watajitolea kufanya kazi ya kuwasaidia wasiojiweza kwa muda wa dakika sitini na saba kama njia moja ya kuadhimisha siku hii.
Mandela aliachikiliwa huru kutoka gerezani akiwa na umri wa miaka 67.
Former US President, Bill Clinton, right, meets with former South African President Nelson Mandela at his home in Qunu, South Africa, Tuesday, July 17, 2012 on the eve of Mandela's 94th birthday.
Mandela alichaguliwa kuwa rais wa Afrika Kusini mwaka wa 1994.
South African President Nelson Mandela, left, and his wife Graca Machel, wave to the audience during a Live 8 concert in Johannesburg, South Africa. Mandela celebrates his 94th birthday Wednesday, July 18, 2012.
In this photo taken Saturday, July 14, 2012 a mosaic of various coffees make up a giant mosaic portrait of former South African President Nelson Mandela, affectionately know as "Madiba" in Johannesburg. The event took place in celebration of Mandela's 94th birthday which takes place Wednesday, July 18, 2012. (AP Photo)
In this photo taken on Thursday, July 12, 2012, of Former South African President Nelson Mandela at the Drakenstein Correctional Centre from where he was released on Feb. 11, 1990, in Paarl, South Africa. The country celebrates Mandela's 94th birthday, Wednesday, July 18, 2012. (AP Photo/Schalk van Zuydam)

No comments:

Post a Comment