"Sasa naweza kusema mimi ni mchezaji mpya wa Arsenal," alisema kiungo huyo mwenye umri wa miaka 27.
Cazorla, ambaye ameichezea timu yake ya taifa mara 47 lakini alikosa ubingwa wa Kombe la Dunia kutokana na kusumbuliwa na ngiri, aliiwezesha Malaga kufuzu kucheza Ligi ya Klabu Bingwa wakati klabu yake ya zamani ya Villarreal ilishuka daraja.
KWA HISANI YA SHAFIHDAUDA
No comments:
Post a Comment