BUKOBA SPORTS
Tuesday, August 7, 2012
BOCA AMRITH STEWART HALL KUINOA AZAM FC
Azam FC leo imemtambulisha kocha Boris Bunjak "BOCA" mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 20 kwenye fani yaukocha kuwa kocha mkuu mpya wa Azam FC akirithi mikoba ya Stewart Hall aliyesafiri kwenda nchini Uingereza janabaada ya kuisha kwa mkataba wake.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment