BUKOBA SPORTS

Tuesday, September 4, 2012

UPDATES!! TUKIO ZIMA LA MAZISHI(SAFARI YA MWISHO) LA MPIGANAJI MWANDISHI WA CHANEL TEN DAUDI MWANGOSI, TUKUYU MBEYA.


Waandishi wa Habari wakiwa wamebeba Mwili wa Marehemu kuelekea Makabirini

Wakiwa wanafanya ibada ya Mwisho kabla ya kuanza maziko

Wakiwa wanafanya ibada ya Mwisho kabla ya kuanza maziko

Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi ukiwa Tayari katika Kaburi. R.I.P

Ndugu jamaa na marafiki wakimzika Mazishi yanaendelea Marehemu Marehemu Daudi Mwangosi

Mke wa Daudi Mwangosi akiwa analia kwa uchungu katika Kaburi la Marehemu Mumewe

Mwenyekiti wa Mbeya Press Club akiweka shada la maua

Watoto wa Marehemu wakiwawanaweka mashada ya maua sasa

Dr Slaa Baada ya kumaliza kutoa heshima za mwisho

No comments:

Post a Comment