meneja mauzo wa bonite Gilberty Oiso
mkuu wa wilaya ya arusha mjini John Mongela akiwa anakimbia mbio za kilometa 21 lakini akufanikiwa kumaliza kilometa zote ambapo aliahidi mwakani atakipia zote
Timu nzima ya serena hotel
Watoto wa timu ya chaki walishiriki na kushika nafasi za mwanzo
meneja mauzo wa bonite Gilberty Oiso akiwa anampita mpinzani wake dr.Makani katika mbio za safari marathoni ,meneja huyu alikimbia kilometa 21 na akamaliza bila matatizo
MISOSI usipime ni balaa mishikaki iliyekuwepo kwenye safari marathon
ikionyesha washindi wanawake tatu bora wa kwanza akiwa ni Jackline sakiru katika kati wapili ni Agnrss katungi kutoka kenya na Mary naali kutoka tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na mkuu wa wilaya mara baada ya kukabidhiwa zawadi zao
picha hii ikionyesha washindi wanawake tatu bora wa kwanza akiwa ni Jackline sakiru katika kati wapili ni Agnrss katungi kutoka kenya na Mary naali kutoka tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na mkuu wa wilaya mara baada ya kukabidhiwa zawadi zao
No comments:
Post a Comment