
Nahodha John Terry akiichezea Mechi yake
ya kwanza ya Ligi tangu afungiwe Mechi 4 aliifungia Chelsea bao moja
lakini Liverpool walizinduka na kusawazisha kupitia Luis Suarez na Mechi
kumalizika 1-1 na kuwafanya Chelsea waipishe Man City kwenye nafasi ya
pili wakiwa nyuma ya vinara Manchester United.
MSIMAMO NANE ZA JUU
1 Man United Mechi 11 Pointi 27
2 Man City Mechi 11 Pointi 25
3 Chelsea Mechi 11 Pointi 24
4 Everton Mechi 11 Pointi 20
5 WBA Mechi 11 Pointi 20
6 West Ham Mechi 11 Pointi 18
7 Tottenham Mechi 11 17
8 Arsenal Mechi 11 Pointi 16
Suarez akiwaacha hoi Chelsea dakika ya 73 baada ya kutupia goli la kusawazisha.
VIKOSI:
Chelsea: Cech, Azpilicueta, Terry, Ivanovic, Bertrand, Mikel, Ramires, Hazard, Oscar, Mata, Torres
Akiba: Turnbull, Romeu, Moses, Ferreira, Marin, Sturridge, Cahill.
Liverpool: Jones, Wisdom, Carragher, Agger, Johnson, Allen, Gerrard, Sterling, Sahin, Jose Enrique, Suarez
Akiba: Gulacsi, Cole, Assaidi, Henderson, Coates, Downing, Fernandez Saez.
Refa: Howard Webb
Chelsea: Cech, Azpilicueta, Terry, Ivanovic, Bertrand, Mikel, Ramires, Hazard, Oscar, Mata, Torres
Akiba: Turnbull, Romeu, Moses, Ferreira, Marin, Sturridge, Cahill.
Liverpool: Jones, Wisdom, Carragher, Agger, Johnson, Allen, Gerrard, Sterling, Sahin, Jose Enrique, Suarez
Akiba: Gulacsi, Cole, Assaidi, Henderson, Coates, Downing, Fernandez Saez.
Refa: Howard Webb
RATIBA MECHI ZIJAZO:
Jumamosi, Novemba 17, 2012
[SAA 9 Dak 45 Mchana]
Arsenal v Tottenham Hotspur
[SAA 12 Jioni]
Liverpool v Wigan Athletic
Manchester City v Aston Villa
Newcastle United v Swansea City
Queens Park Rangers v Southampton
Reading v Everton
West Bromwich Albion v Chelsea
[SAA 2 na Nusu Usiku]
Norwich City v Manchester United
No comments:
Post a Comment