Hatuachani tena mpaka kifo...!
Bwana harusi Godfrey Monyo akiwa mwenye furaha na mkewe Gadiosa Lamtey
kwenye Kanisa la Mt. Petro leo Jumamosi Novemba 10, 2012.
Kama ndoto vile...! Bi. harusi Gadiosa Lamtey (kulia) akiteta jambo na mumewe, Godfrey Monyo.
Angalieni na mvitunze vyeti vyenu vya ndoa...!
Hongereni sana...! 'Bandungu' na jamaa 'bakitoa' pongezi
Mahala pa mnuso wa sherehe ya
harusi ya Monyo na mkewe Gadiosa kwenye bustani ya viwanja vya Mnazi
Mmoja jijini Dar es Salaam. (PICHA ZOTE: Kwa Hisani ya
richard-mwaikenda.blogspot.com)
No comments:
Post a Comment