

Terry akikatiza uwanja kutoka nje akitembea kwa msaada wa magongo, kufuatia kuumia goti la mguu wa kulia kama linavyoonekana. Anatarajia kuwa nje ya uwanja kwa mwezi mmoja.
LONDON, England
"Tunalazimika kusubiri
hadi afanyiwe uchunguzi kujua ukubwa
kamili wa jeraha lake.
kamili wa jeraha lake.
Kuna wasiwasi mkubwa miongoni
mwetu. Tulifurahishwa na
marejeo yake dimbani baada ya adhabu. Tuna matumaini kwamba hatokuwa na jeraha kubwa sana"
marejeo yake dimbani baada ya adhabu. Tuna matumaini kwamba hatokuwa na jeraha kubwa sana"
LICHA ya vipimo kuonesha kuwa hajapata majeraha makubwa
- na hivyo kudaiwa kuwa anaweza kukaa nje ya dimba kwa
takribani wiki tatu hadi nne, mabingwa wa soka barani Ulaya,
Chelsea chini ya
kocha wake Roberto Di Matteo, wameingiwa na wasiwasi mkubwa wakihofu huenda nahodha wake John Terry, akaigharimu timu yake
kwa kukaa nje ya dimba muda mrefu.
Terry alifunga bao la ufunguzi
wa pambano hilo kali la Ligi Kuu ya England kabla
ya kutolewa akiwa kwenye machela – baada ya kugongana na mshambuliaji Luis
Suarez, ambaye alifunga bao la kusawazisha la Wekundu wa Anfield katika kipindi
cha pili katika pambano la Ligi kwenye Uwanja wa Stamford Bridge.
- na hivyo kudaiwa kuwa anaweza kukaa nje ya dimba kwa
takribani wiki tatu hadi nne, mabingwa wa soka barani Ulaya,
Chelsea chini ya
kocha wake Roberto Di Matteo, wameingiwa na wasiwasi mkubwa wakihofu huenda nahodha wake John Terry, akaigharimu timu yake
kwa kukaa nje ya dimba muda mrefu.
Beki huyo wa kati wa Chelsea, ambaye
alikuwa akirejea kwa mara
ya kwanza akitoka kumaliza adhabu ya kufungiwa kucheza mechi
nne kwa tuhuma za kumbagua Anthon Ferdinand, jana Jumatatu
alifanyiwa vipimo kujua ukubwa wa jeraha, ambapo imeelezwa atakosekana dimbani kwa muda mfupi, ingawa klabu imeingia
mchecheto.
ya kwanza akitoka kumaliza adhabu ya kufungiwa kucheza mechi
nne kwa tuhuma za kumbagua Anthon Ferdinand, jana Jumatatu
alifanyiwa vipimo kujua ukubwa wa jeraha, ambapo imeelezwa atakosekana dimbani kwa muda mfupi, ingawa klabu imeingia
mchecheto.
akizungumza juzi kabla ya vipimo vya jana, Di Matteo alisema: "Tunalazimika kusubiri hadi
afanyiwe kipimo kujua ukubwa kamili
wa jeraha lake," alisema kocha huyo aliyerithi mikoba ya Andre Villas-Boas klabuni hapo.
wa jeraha lake," alisema kocha huyo aliyerithi mikoba ya Andre Villas-Boas klabuni hapo.
"Kuna wasiwasi mkubwa
miongoni mwetu. Tulifurahishwa na
marejeo yake dimbani baada ya adhabu.
marejeo yake dimbani baada ya adhabu.
"Tuna matumaini kwamba
hatokuwa na jeraha kubwa sana,
lakini
tutaona itakavyokuwa. Wakati wachezaji wanapoathiriwa kwa
kiwango hicho, inatia shaka miongoni mwetu. Yuko katika maumivu
makali hivi sasa."
tutaona itakavyokuwa. Wakati wachezaji wanapoathiriwa kwa
kiwango hicho, inatia shaka miongoni mwetu. Yuko katika maumivu
makali hivi sasa."
Terry aliifungia bao la uongozi
The Blues kunako dakika ya 20 ya
pambano hilo, wakati kichwa chake cha nguvu kilipotinga nyavuni
moja kwa moja akiunganisha kona ya Juan Mata na kuweka rekodi
ya kuifungia Chelsea bao la 50.
pambano hilo, wakati kichwa chake cha nguvu kilipotinga nyavuni
moja kwa moja akiunganisha kona ya Juan Mata na kuweka rekodi
ya kuifungia Chelsea bao la 50.
"Aliuanza vema mno mchezo, akaonesha
ubora wake dimbani,
uzoefu na ushawishi mkubwa," alisema Di Matteo akimuelezea
Terry katika mechi hiyo na kuongeza: "Tuna tumani hatokuwa
nje ya dimba muda mrefu."
uzoefu na ushawishi mkubwa," alisema Di Matteo akimuelezea
Terry katika mechi hiyo na kuongeza: "Tuna tumani hatokuwa
nje ya dimba muda mrefu."
No comments:
Post a Comment