RATIBA / MATOKEO
[Mechi zote kuanza Saa 4 Dak 45 Usiku Bongo Taimu]
Jumatano Novemba 7
Juventus 4 v FC Nordsjælland 0
Chelsea FC 3 v FC Shakhtar Donetsk 2
Valencia CF 4 v FC BATE Borisov 2
FC Bayern München 6 v LOSC Lille1
SL Benfica 2 v FC Spartak Moskva 0
Celtic FC 2 v FC Barcelona1
CFR 1907 Cluj 1 v Galatasaray A.S.3
SC Braga 1 v Manchester United FC 3
CHELSEA 2 vs SHAKHTAR DONETSK 1John Terry (kushoto) akipasha na leo hii amepigwa benchi
Fernando Torres's (katikati) akishangila baada ya kufunga goli baada ya kipa wa Shakhtar Donetsk kufanya makosa kupiga mpira na hatimaye Torres kukutana nao mguuni na mpira kuingia nyavuni.
MABAO ya Victor Wanyama na mshambuliaji kinda Tony Watt yalitosha kuipa ushindi wa kukumbukwa Celtic wa mabao 2-1 dhidi ya Barcelona katika mchezo wa kundi G wa Ligi ya Mabingwa Ulaya uliofanyika katika Uwanja wa Celtic Park usiku.Kiungo wa kimataifa wa Kenya Wanyama ndiye aliyeipa bao la kuongoza timu yake katika dakika ya 21 ya mchezo huo kabla ya Watt kufunga bao la pili katika dakika za lala salama na kupelekea jahazi la kocha wa Barcelona Tito Vilanova kuzama huku bao pekee la imu hiyo likifungwa Lionel Messi katika dakika ya 90.
BRAGA 1 vs MANCHESTER UNITED 3
Manchester United, ilitoka nyuma kwa Bao 1-0, ikastahamili umeme kukatika, na kuibuka washindi wa Bao 3-1 walipocheza huko Ureno na Braga na kuwachapa Bao 3-1 na kutinga Raundi ya Mtoano ya Timu 16 kwa kishindo wakiwa Timu pekee kwenye UEFA CHAMPIONS LIGI iliyoshinda Mechi zake zote 4.
Huko Celtic Park, Glasgow, Celtic leo walitoa kishindo kikubwa kwa kuichapa Barcelona Bao 2-1.
Nako Stamford Bridge, Chelsea iliichapa Shakhtar Donetsk Bao 3-2 na kuweka hai matumaini yao kusonga mbele.
MAGOLI:
Braga: Alan, 49, Penati
Man United: Robin van Persie, 80, Rooney, 84, [Penati], Chicharito, 90
Braga: Beto; Leandro Salino, Nuno André Coelho, Douglão, Elderson; Alan, Custodio, Hugo Viana, Rúben Amorim; Rúben Micael; Eder
Akiba: Quim, Mossoró, Hélder Barbosa, Baiano, Ismaily, Djamal, Zé Luis.
Man United: De Gea; Valencia, Smalling, Evans, Evra; Anderson; Nani, Giggs; Rooney; Hernández, Welbeck
Akiba: Lindegaard, Rafael, Ferdinand, Carrick, Young, Van Persie, Cleverley.
Refa: Felix Brych (Germany).
GROUP STAGE
Group A
Group B
Group C
Group D
Group E
Group F
Group G
Group H
# | Team | MP | W | D | L | F | A | D | P | Last 5 | ||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | Manchester United | 4 | 4 | 0 | 0 | 9 | 4 | +5 | 12 | WWWW | ||
2 | Galatasaray | 4 | 1 | 1 | 2 | 4 | 5 | -1 | 4 | WDLL | ||
3 | CFR Cluj | 4 | 1 | 1 | 2 | 5 | 6 | -1 | 4 | LDLW | ||
4 | Sporting Braga | 4 | 1 | 0 | 3 | 5 | 8 | -3 | 3 | L |
No comments:
Post a Comment