BUKOBA SPORTS

Saturday, February 2, 2013

ENGLISH PREMIER LEAGUE: NEWCASTLE UNITED 3 vs CHELSEA 2, MOUSSA SISSOKO AMNYAMAZISHA KOCHA WA CHELSEA RAFA BENITEZ!!


Moussa Sissoko, alifunga mara mbili kwa ikiwa ni mchezo wake wa kwanza kuichezea Newcastle, ambayo ilikuwa nyuma kwa magoli mawili na kuibuka washindi kwa kuilaza Chelsea.
Mchezaji wa zamani wa Newcastle Demba Ba ambaye anachezea Chelsea alipata nafasi ya kwanza kulishambulia lango la Newcastle.
Dakika chache baadaye, Jonas Gutierrez alifunga goli lakini Chelsea ilijibu mapigo kwa kufunga kupitia kwa Frank Lampard na Juan Mata.

Sissoko alisawazisha katika dakika ya 68 na kufunga bao lingine na la ushindi katika dakika za majeruhi za mchezo.
Ilikuwa ni makaribisho mazuri kwa mashabiki wa Newcastle kwa ushindi huo uliochochewa na mchezaji kiungo huyo kutoka Ufaransa, ambaye alitia saini kuichezea Newcastle tarehe 25 mwaka huu.
Kocha wa Newcastle Alan Pardew ameelezea usajili wake mpya wa mchezaji Demba Ba mwenye umri wa miaka 23 kuwa ni mafanikio makubwa kwa timu yake.
Welcome back: Demba Ba is accidentally kicked in the face by former Newcastle teammate Fabricio Coloccini
 Demba Ba akiumizwa hapa baada ya Fabricio Coloccini kupiga mpira na hatimaye kuukosa.
Does that hurt? Demba Ba suffered a broken nose
Demba Ba
Welcome back: Demba Ba is accidentally kicked in the face by former Newcastle teammate Fabricio Coloccini
Ba akiwa akiwa tayari kuendelea na mechi baada ya matibabu ya muda.
Toon time: Newcastle midfielder Jonas Gutierrez scores their first goal
Jonas Gutierrez akifunga goli la kwanza kwa timu yake
Perfct 10: Chelsea's Frank Lampard grabbed his 10th goal of the season - the 10th consecutive season he had reached double figures
Frank Lampard akishangilia

Moussa Sissoko akishangilia baada ya kutupia dakika za mwishoni lala salama.
VIKOSI:
Newcastle: Krul, Debuchy, Steven Taylor, Coloccini, Santon, Perch, Cabaye, Gouffran (Marveaux 84), Sissoko (Yanga-Mbiwa 90), Gutierrez, Cisse. Subs Not Used: Elliot, Anita, Bigirimana, Obertan, Shola  Ameobi.
Booked: Perch, Cisse.
Goals: Gutierrez 41, Sissoko 68, 90.
Chelsea: Cech, Ivanovic, Cahill, Terry, Cole, Ramires, Lampard, Oscar, Mata, Bertrand, Ba (Torres 43). Subs Not Used: Turnbull, Ferreira, Marin, Azpilicueta, Benayoun, Ake.
Booked: Ramires, Cole, Mata.
Goals: Lampard 55, Mata 61.
Att: 52,314.
Ref: Howard Webb.

No comments:

Post a Comment