Wakazi wa Jiji la Dar wakiwa wanaingia katika viwanja vya leaders club hapo jana katika kushuhudia bar itakayoibuka mshindi katika kinyang'anyiro cha fainali za Safari lager nyama choma
Hili ndio Jukwaa lililotumika katika Fainali za Safari lager Nyama Choma katika viwanja vya leaders club hapo jana
Mmoja wa Majaji akikagua nyama katika Bar ya Asenga kutoka Buguruni wakati wa fainali za kuchoma nyama zilizofanyika katika viwanja vya leaders hapo jana
Wachoma nyama kutoka katika Baa ya fyatanga kutoka Boko Jijini Dar wakiwa kazini wakati wa fainali za kuchoma nyama zilizofanyika jana katika viwanja vya leaders ambapo Bar ya Titanic iliibuka kidedea na kujinyakulia kitita cha Shilingi Milioni Moja
Wakazi wa Jiji la Dar Wakisubiri nyama choma katika bara ya fyatanga kutoka Boko wakati wa fainali za kuchoma nyama zilizofanyika Jana katika Viwanja Vya Leaders
Wakazi wa Jiji la Dar na Vitongoji Vyake wakiwa wakijisevia nyama choma wakati wa fainali za kuchoma nyama zilizofanyika katika viwanja vya leaders hapo jana
Wadau wa Nyama Choma wakiwa wanapiga story baada ya kumaliza kula nyama choma huku wengine wakiendelea kusubiri na wengine wakiendelea kula nyama choma katika fainali za nyama choma zilizofanyika jana katika viwanja vya leaders
Wadau wa Nyama Choma wakisubiri nyama wakati wa fainali za kuchoma nyama zilizofanyika katika viwanja vya leaders hapo jana
Pia kulikua na michezo mbalimbali kama mchezo wa pool ambao pia safari lager ni moja ya wadhamini wa michezo ya pool hapa Tanzania
Luiza Mbutu Nyoni akiwa stejini akitumbuiza na bendi yao ya African stars Twanga Pepeta katika fainali za safari lager nyama choma zilizofanyika katika Viwanja vya leaders hapo jana
Wacheza sarakasi wakionyesha uwezo wao katika fainali za safari lager nyama choma zilizofanyika katika viwanja vya leaders hapo jana
Baadhi tu ya umati uliohudhuria kwenye fainali za safari lager nyama choma zilizofanyika jana katika viwanja vya leaders Club huku bar Ya Titanic kuibuka mshindi na kujinyakuliza kitita cha Shilingi Milioni Moja
No comments:
Post a Comment