Kilio ugenini: kipa na mchezaji wa Reading wakiwa hoi..baada ya kutupiwa bao la 2
Kocha Nigel Adkins (kulia) akisisitiza mashambulizi, kumbuka kocha huyu alitimuliwa katika timu hii ya Southampton kabla ya kutua hapa Reading hivyo vijana hawa wa Southampton anawajua..
Hapa kazi tu: Chris Gunter akichuana na Rodriguez
Adam Lallana akishangilia baada ya kuziona nyavu kwa bao la pili dakika ya 72
VIKOSI:
Reading: Federici, Kelly, Mariappa, Morrison, Gunter, Robson-Kanu (Hunt 73), Karacan, Guthrie (McCleary 62), Akpan (Leigertwood 46), McAnuff, Le Fondre.
Subs: McCarthy, Pearce, Pogrebnyak, Harte.
Southampton: Boruc, Clyne, Yoshida, Hooiveld, Shaw, Ramirez (Lallana 63), Schneiderlin, Cork, Steven Davis (Do Prado 89), Rodriguez, Lambert.
Subs: Kelvin Davis, Fonte, Fox, Ward-Prowse, Puncheon.
Goals: Rodriguez 35, Lallana 72.
Ref: Mike Jones.
No comments:
Post a Comment