Hadi Mapumziko Bao zilikuwa 0-0.
Kipind cha Pili, Brazil katika Dakika ya 54 kupitia Mchezaji wa Chelsea Oscar na kupiga Bao la pili katika Dakika ya 84 baada ya kaunta ataki safi ambayo ilimkuta Neymar aliempoozea Hernanes, alieingzwa Kipindi cha Pili, ambae alimalizia kifundi.
Bao la 3 la Brazil lilifungwa na Lucas Moura katika Dakika ya 93 kwa Penati baada ya Marcelo, ambae aling’ara sana Mechi hii, kuchezewa faulo na Debuchy.
Ushindi huu ni wa kwanza kwa Brazil kuifunga France katika Miaka 11 na ni kipigo cha tatu mfululizo kwa France na sasa kinaleta presha kubwa kwa Kocha wa France Didier Deschamps.
No comments:
Post a Comment