Hadi Mapumziko, Liverpool ilikuwa mbele kwa Bao moja la Dakika ya 14 la Coutinho.
Kipindi cha Pili, Liverpool waliongeza Bao 3 nyingine Wafungaji wakiwa Ibe, Dakika ya 37, Raheem Sterling, Dakika ya 64 na Aspas, Dakika ya 75.
Ibe alijipatia bao la kwanza kwenye uwanja huko Deepdale
Coutinho akimtoka Paul Huntington wa Preston North End
Mchezaji wa Liverpool Philippe Coutinhoakifunga bao, Liverpool walishinda 4-0 kwenye mtanange huo wa kirafiki.
No comments:
Post a Comment