**Mpira ulistishwa kwa muda baada ya kutokea upepo mkali na hali ya hewa mbaya huku mabarafu yakianguka hali iliyomfanya mwamuzi kusimaisha mpira kwa dakika chache kama 10 kwenye uwanja wa Stoke City Britannia Stadium.**
Patrice Evraakijikinga na kutoka uwanjani
Wakiteta juu ya hali ya hewa....
Kipindi cha kwanza kilimalizika wakiwa nguvu sawa ya bila kufungana. Ndipo kipindi cha pili United wakafanya mabadiliko Anderson akatoka na nafasi yake ikachukuliwa na Chicharito na mpira ukabadilika kwa upande wa United mashambulizi yakazidi.
Kipindi cha pili dakika ya 62 Ashley Young akaachia shuti kali lililomshida kudaka kipa wa Stoke Thomas Sorensen na kuzama hadi ndani ya nyavu za Stoke City.
ROBO FAINALI
Jumatano Desema 18
Stoke 0 v Man United 2
Tottenham 1 v West Ham 2
No comments:
Post a Comment