Kocha wa muda Tim Sherwood alipofika uwanjani na kocha mwenzake Chris Ramsey kushoto
Kipindi cha pili dakika ya 67 Emmanuel Adebayor akawapatia bao Spurs.
Mwenyekiti wa Tottenham chairman Daniel Levy (katikati) White Hart Lane akijionea kibano kingine tena kwenye uwanja wao
Maiga akishangilia baada ya kuimaliza Spurs kwa kufunga bao la pili
Patashika kwenye lango la Spurs!!
Wachezaji wawili wa West Ham wakimkaba mchezaji wa Spurs
Adebayor hoi chini!!!
RATIBA
ROBO FAINALI
Jumatano Desema 18
Stoke 0 v Man United 2
Tottenham 0 v West Ham 2
No comments:
Post a Comment