Bao hizo 3 za Eden Hazard zimehitimisha mchezo huo dakika 90 Chelsea wakiibuka shujaa kwa bao 3-0 dhidi ya Necastle United inayoshikilia nafasi ya nane kwenye msimamo wa Ligi.
Ushindi huu unaipaisha Chelsea kileleni kwa pointi 56, Arsenal wakiwa nafasi ya pili na pointi zao 55 baada ya kupokea kichapo cha bao 5-1 kutoka kwa majogoo Liverpool, Manchester City waliotoshana nguvu na Norwich ya bila kufungana kwa sare ya 0-0 wakiwa nafasi ya tatu wakiwa na pointi 54. Liverpool wanashikilia nafasi ya nne wakiwa na pointi 50.

Eden Hazard akishangilia..moja ya bao lake
Eden Hazard akikimbia huku anashangilia mbele ya mashabiki wa Chelsea baada ya kufunga bao 
Eden Hazard ....Hat-trick!!
Eden Hazard akifunga bao la mwisho kwa mkwaju wa penati..
Frank Lampard akimbana Sammy Ameobi wa Newcastle
Majanga!!! Moussa Sissoko akipagawa baada ya kuona timu yake inanyukwa bao
Willian wa Chelsea akimkaba mchezaji wa Newcastle Moussa Sissoko
Hatem Ben Arfa wa Newcastle United na Samuel Etoo kwenye patashika!!!
MSIMAMO ULIVYO KWA SASA TIMU ZA JUU.
Eden Hazard akishangilia..moja ya bao lake
Eden Hazard ....Hat-trick!!
MSIMAMO ULIVYO KWA SASA TIMU ZA JUU.
2013-2014 BARCLAYS PREMIER LEAGUE TABLE | |||||||||||||||||||||||
OVERALL | HOME | AWAY | |||||||||||||||||||||
POS | TEAM | P | W | D | L | F | A | W | D | L | F | A | W | D | L | F | A | GD | Pts | ||||
1 | Chelsea | 25 | 17 | 5 | 3 | 47 | 20 | 11 | 2 | 0 | 28 | 9 | 6 | 3 | 3 | 19 | 11 | 27 | 56 | ||||
2 | Arsenal | 25 | 17 | 4 | 4 | 48 | 26 | 9 | 2 | 1 | 22 | 6 | 8 | 2 | 3 | 26 | 20 | 22 | 55 | ||||
3 | Manchester City | 25 | 17 | 3 | 5 | 68 | 27 | 11 | 0 | 1 | 42 | 9 | 6 | 3 | 4 | 26 | 18 | 41 | 54 | ||||
4 | Liverpool | 25 | 15 | 5 | 5 | 63 | 30 | 11 | 1 | 1 | 38 | 9 | 4 | 4 | 4 | 25 | 21 | 33 | 50 | ||||
No comments:
Post a Comment