
Kitendo cha kuendelea na ndoto zake, kufunga safari hadi Arusha na kufanya shoo Triple A Club, ni ujasiri mkubwa sana. Bado ana nafasi ya kutafuta vya kwake na akapata fedha nyingi! Wema anaweza kutumia vipaji vyake na kuwa bilionea bila kutegemea msaada wa mwanaume. Nampongeza sana kwa hilo. Wema unaweza. Simama, endelea mbele. Hongera sana kwa hilo. Imeandikwa na Joseph Shaluwa
No comments:
Post a Comment