BUKOBA SPORTS

Saturday, February 8, 2014

NORWICH 0 v MANCHESTER CITY 0, MAMBO YAWA MAGUMU KWA CITY LEO..ATOKA SARE NA NORWICH CITY CARROW ROAD.

Mchezaji wa Norwich City Martin Olsson akichuana na mchezaji wa Manchester City Stevan Jovetic
Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini akitoa maelekezo leo kwenye matanage wao na Norwich City huko carrow Road.Mchezaji wa Norwich City Bradley Johnson akichuana vilivyo kuutafuta mpira na Alvaro NegredoKocha wa Norwich City Chris Hughton akishushia maji ya kunywa.Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini mapema kipindi cha kwanza.Mchezaji wa Norwich City Martin Olsson na wa Manchester City Alvaro Negredo wakichuana kugombea mpira katika kipindi cha kwanza. City walikuwa Ugenini huko Norwich Carrow RoadMchezaji wa Norwich City Bradley Johnson na Jesus Navas Mchezaji wa Manchester City Pablo Zabaleta akijilaumu baada ya kukosa bao la wazi!!
Mchezaji wa Manchester City Stevan Jovetic akiachia shuti kaliMchezaji wa Norwich City kipa John Ruddy akiokoa kwa kudaka mpira kutoka kwa Jesus NavasMchezaji wa Manchester City Alvaro Negredo na Mchezaji wa Norwich City Martin Olsson wakichuana vilivyo kuusaka mpira kwa udi na uvumba hapa...Kocha Chris Hughtonakiongea na wachezaji wake na kuwapa mbinu mbadala za kukabiliana na Wachezaji wa CityMeneja Chris Hughton kwenye mstari akiangalia kipute cha vijana wake leoMchezaji wa Manchester City Pablo Zabaleta na Mchezaji wa Norwich City Bradley Johnson wakikabana huku Pablo akimbana vilivyo kwa nyuma mchezaji huyo hatari wa Norwich.Bradley Johnson akikabwa...Benchi la viongozi wa Manchester City akiwemo kocha mkuu Manuel Pellegrini (kulia)Kimbiza kimbiza hapa....na kamata kamata....Mchezaji wa Norwich City Alexander Tettey (kushoto) na Mchezaji wa Manchester City Stevan Jovetic....

No comments:

Post a Comment