Bao hilo la Messi kwenye Mechi hii limemfanya afikishe Bao 229 kwenye La Liga na kumpita Nguli Raul, aliekuwa Nafasi ya 3, katika Ufungaji Bora wa La Liga katika Historia.
Kwenye Mechi hii, Kocha wa Barca, Gerardo Martino, alibadilisha Wachezaji 6 toka Kikosi kilichopigwa 3-1 na Real Sociedad Wiki iliyopita na Mchezaji mashuhuri aliepoteza Namba ni Andres Iniesta.

Neymar kwenye patashika.





Xavi nae akaziona dakika za majeruhi dakika ya 89.
LA LIGA:
MATOKEO:
Jumapili Machi 2
Villarreal CF 1 v Real Betis 1
Atletico de Madrid 2 v Real Madrid CF 2
Sevilla FC 1 v Real Sociedad 0
FC Barcelona 4 v UD Almeria 1
Rayo Vallecano 1 v Valencia 0
No comments:
Post a Comment