The Glazers - ambao wanaimiliki United kwa 90% - wamekuwa wakiripotiwa kutaka kuiuza timu hiyo, huku mmoja wa watu wa karibu wa familia hiyo akikaririwa akisema kwamba "kila mtu anajua klabu inauzwa".
Thursday, March 27, 2014
'THE CLASS OF 92' WAKIONGOZWA NA BECKHAM NA GARY NEVILLE WARIPOTIWA KUTUMIWA NA FAMILIA YA KIFALME YA QATARI KATIKA UNUNUZI WA MANCHESTER UNITED
The Glazers - ambao wanaimiliki United kwa 90% - wamekuwa wakiripotiwa kutaka kuiuza timu hiyo, huku mmoja wa watu wa karibu wa familia hiyo akikaririwa akisema kwamba "kila mtu anajua klabu inauzwa".
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment