BUKOBA SPORTS

Monday, March 10, 2014

TONI KROOS ANG'ANG'ANIA KWENDA OLD TRAFFORD!!!


Mkataba wa Kroos unamalizika Mwaka 2015 lakini hadi sasa amekataa kusaini Mkataba mpya na Bayern.
Alipoulizwa kuhusu hatima yake na Bayern, Kroos alijibu: “Hakuna uamuzi uliofanyika. Si Siri Ligi Kuu England inawezekana!”
Hata hivyo, Meneja wa Bayern Munich, Pep Guardiola, amemshauri Kroos kubaki Bayern na kumwahidi atakuwa Mchezaji bora chini yake.
Hadi sasa Man United haijatoa tamko lolote kuhusu Toni Kroos.


Kroos cakishangilia alipowashona bao Arsenal kwenye Champions Ligi
Kiungo huyo wa Mabingwa wa Ulaya, Bayern Munich, amekiri kuwa yuko tayari kujiunga na Manchester United ikiwa ataihama Bayern. Na ni moja wa Mastaa wa kikosi cha kucheza kombe la Dunia 2014 kutoka Ujerumani.Kocha wa Man United bado anamatumaini na Kroos Stay with me: Pep Guardiola (pictured) hope to have Kroos at Bayern for 'many seasons'Vile vile na kocha wake Pep Guardiola anamatumaini ya Kroos kusaini mkataba mpya na kuendelea kuichezea Klabu yake kama kawaida....

No comments:

Post a Comment