Mchezaji hatari wa Bayern Munich Franck Ribery na Arjen Robben kwenye mazoezi leo Jumatatu, Tayri kukutana uso kwa uso na Manchester United kwenye mtanange wa kwanza wa michuano ya UEFA Champions ligi.
Shaqiri (katikati) aliisawazishia Jumamosi na kuweka sare ya 3-3 dhidi ya Hoffenheim kwenye Ligi ya Bundesliga
Kocha Mkuu Pep Guardiola (katikati) akiwacheki vijana wake leo Jumatatu kwenye mazoezi
No comments:
Post a Comment