MCHEZO wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya Azam FC na wenyeji Ruvu Shooting uliokuwa ufanyike Aprili 6, mwaka huu Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani umesogezwa mbele hadi Aprili 9, imefahamika.
Ruvu Shooting kwenye msimamo wapo nafasi ya 6 wakiwa na pointi 32
No comments:
Post a Comment