Kesho kutwa (Aprili 13 mwaka huu) kutakuwa na mechi nyingine tano za kukamilisha raundi hiyo.
Mtibwa Sugar itacheza na Ruvu Shooting (Uwanja wa Manungu, Morogoro), Mgambo Shooting na Kagera Sugar zitaoneshana kazi kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga huku Mbeya City ikiumana na Azam kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya.
Simba na Ashanti United zitapambana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment