UEFA CHAMPIONS LIGI, LEO Jumanne Usiku kitimutimu kitakuwa ni Mechi ya Kwanza ya Nusu Fainali huko Jijini Madrid Nchini Spain.
Kati ya ATLETICO MADRID vs CHELSEA.
Kipindi cha kwanza kilimalizika kwa 0-0. Pamoja na hayo Chelsea kipa wao Petr Cech aliumia mapema kipindi cha kwanza na kulazimika kuondolewa nje ya uwanja na nafasi yake ilichukuliwa na kipa wa akiba Mark Schwarzer.
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho (katikati) akitazama mpira
No comments:
Post a Comment