Dakika ya 26 Laurent Koscielny aliipachikia bao Arsenal baada ya Santi Cazorla kupiga frii kiki.
Huku bao la pili likifungwa na Mesut Ozil na kufanya 2-0 dhidi ya Newcastle dakika ya 42.
Bao la tatu na la mwisho limefungwa na Olivier Giroud kipindi cha pili dakika ya 66.Kipigo hiki ni muendelezo wa Matokeo mabaya kwa Newcastle ambao sasa wamefungwa katika Mechi zao 7 kati ya 8 walizocheza mwisho kwenye Ligi na wanabaki kwenye Nafasi yao ya 9.
VIKOSI:
Arsenal: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Arteta, Ramsey, Cazorla, Ozil, Podolski, Giroud.
Subs: Vermaelen, Rosicky, Flamini, Fabianski, Sanogo, Jenkinson, Kallstrom.
Newcastle: Krul, Debuchy, Williamson, Coloccini, Dummett, Tiote, Anita, Sissoko, Gouffran, Gosling, Remy.
Subs: Yanga-Mbiwa, Haidara, Elliot, Shola Ameobi, Obertan, Steven Taylor, Armstrong.
Referee: Neil Swarbrick
Arsenal: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Arteta, Ramsey, Cazorla, Ozil, Podolski, Giroud.
Subs: Vermaelen, Rosicky, Flamini, Fabianski, Sanogo, Jenkinson, Kallstrom.
Newcastle: Krul, Debuchy, Williamson, Coloccini, Dummett, Tiote, Anita, Sissoko, Gouffran, Gosling, Remy.
Subs: Yanga-Mbiwa, Haidara, Elliot, Shola Ameobi, Obertan, Steven Taylor, Armstrong.
Referee: Neil Swarbrick
No comments:
Post a Comment