Wigan walikosa Penati zao mbili za kwanza kupitia Caldwell na Collison kwa Kipa Fabianski kuokoa na Arsenal kufunga Penati 4 kupitia Arteta, Kallstrom, Giroud na Cazorla.
Penati za Wigan zilizofungwa zilipigwa na Jean Beausejour na McArthur.
Hadi Mapumziko Bao zilkuwa 0-0 na Wigan ndio waliotangulia kufunga katika Dakika ya 63 kwa Penati ya Gomez ambayo ilitolewa baada ya Mertesacker kumwangusha McManaman.
Arsenal walisawazisha katika Dakika ya 83 kufuatia Kona na piga nikupige kuishia kwa Mertesacker alieukwamisha Mpira wavuni.
Hadi Dakika 90 kumalizika Bao zilikuwa 1-1 na zikaongezwa Dakika 30 za Nyongeza lakini mambo hayakubadilika.
Nusu Fainali nyingine itachezwa kesho Jumapili, pia Uwanjani Wembley, kati ya Hull City na Sheffield United.
Kipa wa Arsenal Lukasz Fabianski akiokoa mikwaju ya penati miwili ya mwanzo
Kocha Arsene Wenger
Alex Oxlade-Chamberlain na kipa wa Wigan Scott Carson
Kipa wa Arsenal FABIANSKI
Kocha wa Wigan akiwapa maelekezo vijana wake
Mchezaji Mertesacker wa Arsenal akimfanyia rafu McManaman wa Wigan
Penati...
Jordi Gomez akifunga bao kwa mkwaju wa penati na kufanya 1-0
Jordi Gomez akishangilia bao lake
Kocha Arsene Wenger akipagawa baada ya bao hilo
Mertesacker alisawazisha na kufanya 1-1
Penati za Wigan zilizofungwa zilipigwa na Jean Beausejour na McArthur.
Hadi Mapumziko Bao zilkuwa 0-0 na Wigan ndio waliotangulia kufunga katika Dakika ya 63 kwa Penati ya Gomez ambayo ilitolewa baada ya Mertesacker kumwangusha McManaman.
Arsenal walisawazisha katika Dakika ya 83 kufuatia Kona na piga nikupige kuishia kwa Mertesacker alieukwamisha Mpira wavuni.
Hadi Dakika 90 kumalizika Bao zilikuwa 1-1 na zikaongezwa Dakika 30 za Nyongeza lakini mambo hayakubadilika.
Nusu Fainali nyingine itachezwa kesho Jumapili, pia Uwanjani Wembley, kati ya Hull City na Sheffield United.
VIKOSI
Arsenal: Fabianski, Sagna, Mertesacker, Vermaelen, Monreal, Arteta, Oxlade-Chamberlain, Ramsey, Cazorla, Podolski, Sanogo
Subs: Szczesny, Jenkinson, Gibbs, Kallstrom, Akpom, Eisfeld, Giroud
Wigan: Carson, Perch, Boyce, Ramis, Crainey, McArthur, McEachran, McManaman, Beausejour, Gomez, Fortune
Subs: Al Habsi, Barnett, Caldwell, Maloney, Espinoza, Collison, Powell
No comments:
Post a Comment