BUKOBA SPORTS

Saturday, April 12, 2014

FULL TIME- WEST BROMWICH ALBION 3 vs TOTTENHAM 3


Kipindi cha kwanza dakika ya kwanza mapema, West Brom wanapata bao kupitia kwa mchezaji Matej Vydra , Bao la pili limefungwa tena baada ya dakika tatu na Chris Brunt katika dakika ya 4 na dakika ya 31 Stéphane Sessegnon akawafungia bao la tatu na kufanya 3-0.
Bao la kujifunga la West Brom limewapa zawadi ya bao Spurs na kufanya 3-1 baada ya Jonas Olsson kujifunga katika dakika ya 34.


Dakika ya 70 kipindi cha pili Harry Kane anaipachikia bao la pili na kufanya 3-2 baada ya kupata mpira kutoka kwa Aaron Lennon.
Dakika za majeruhi dakika ya 90 mchezaji wa Spurs Christian Eriksen akaisawazishia bao Spurs kwa kufanya 3-3 dhidi ya West Brom walioanza kuifunga mabao Spurs katika dakika za mapema.Adebayor amekosa penati leo hiiStephane Sessegnon na kipaSpurs wakifunga bao la pili kwa kichwaWachezaji wa Spurs wakishangilia baada ya kusawazisha


LIGI KUU ENGLAND:
RATIBA/MATOKEO
Jumamosi 12 Aprili 2014

Crystal Palace 1 vs Aston Villa 0
Fulham 1 vs Norwich 0
Southampton 0 vs Cardiff 1
Stoke City 1 vs Newcastle 0
Sunderland 0 vs Everton 1
West Brom 3 vs Tottenham 3

No comments:

Post a Comment