
Bela Guttman, ambae ndie alimsaini Lejendari wa Ureno Eusebio, aliipa Benfica Mataji kadhaa ya Nchini Ureno na Mawili ya Ulaya, lakini aliondoka Klabu hiyo kwa ugomvi mkubwa kutokana na mvutano wa Malipo yake na kuilaani Benfica kwa kutamka haitatwaa Taji lolote Ulaya kwa Miaka 100.
No comments:
Post a Comment