Osvaldo, Mchezaji wa zamani wa AS Roma, alimalizia kazi njema ya Pogba na ; Lichtsteiner.
Juve, wakiwa wamebakisha Mechi 1 kumaliza Ligi, wanasaka kuwa Klabu ya Kwanza kufikisha Pointi 100 katika Msimu mmoja.
Ligi hii ya Italy itamalizika Wikiendi ijayo na Juve watakuwa Nyumbani kwao Jijini Turin kucheza na Cagliari Calcio.
MSIMAMO ULIVYO TIMU ZA JUU 4
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
Juventus FC |
37 |
32 |
3 |
2 |
77 |
23 |
54 |
99 |
2 |
AS Roma |
37 |
26 |
7 |
4 |
72 |
24 |
48 |
85 |
3 |
SSC Napoli |
37 |
22 |
9 |
6 |
72 |
38 |
34 |
75 |
4 |
ACF Fiorentina |
37 |
19 |
7 |
11 |
63 |
42 |
21 |
64 |
No comments:
Post a Comment