
Utaratibu mzima utahusisha jamii. Umma utatumika katika kutoa mawazo ya jina jipya kupitia SMS.

Suala la kutaka kubadili jina kwa hakika litaleta mjadala kwenye jamii. Kwa muda mrefu kumekuwepo na baadhi ya watu ambao wamekuwa wakiliponda jina hilo wakisema limekaa kitaratibu na halitishi.
No comments:
Post a Comment