Lallana, mwenye Miaka 26, alisainiwa kwa Pauni Milioni 26 mwanzoni mwa Mwezi huu kutoka Southampton kwa Dau la Pauni Milioni 26.
Lallana aliumia mazoezini huko Boston, Marekani ambako Liverpool wamepiga Kambi ya Mazoezi na wanatarajia kucheza Mechi kadhaa za Mashindano ya Guinness International Champions Cup Nchini Marekani.
Mbali ya kusema Mchazeji huyo hahitaji upasuaji, Liverpool hawakusema kama atakuwa nje kwa muda gani lakini inaaminika atakuwa nje si chini ya Wiki 6.
Hivyo ni wazi Lallana atakosa Mechi za ufunguzi za Ligi Kuu England ambapo Liverpool wataanza Nyumbani Anfield kucheza na Klabu ya zamani ya Mchezaji huyo, Southampton.
Ratiba/Matokeo Mechi za Kujipima Kabla Msimu mpya:
16 Julai Brondby 2-1 Liverpool (Peterson)
19 Julai Preston North End 1 Liverpool 2, Deepdale
23 Julai AS Roma 1 Liverpool 0, Boston, USA
Guinness International Champions Cup
27 Julai Olympiacos v Liverpool, Chicago, USA
30 Julai Manchester City v Liverpoo, New York, USA
2 Agosti AC Milan v Liverpool, Charlotte, USA
10 Agosti: Liverpool v Borussia Dortmund, Anfield
16 Julai Brondby 2-1 Liverpool (Peterson)
19 Julai Preston North End 1 Liverpool 2, Deepdale
23 Julai AS Roma 1 Liverpool 0, Boston, USA
Guinness International Champions Cup
27 Julai Olympiacos v Liverpool, Chicago, USA
30 Julai Manchester City v Liverpoo, New York, USA
2 Agosti AC Milan v Liverpool, Charlotte, USA
10 Agosti: Liverpool v Borussia Dortmund, Anfield
RATIBA LIGI KUU ENGLAND MSIMU MPYA 2014/15 MECHI ZA UFUNGUZI
Saturday 16 August
- 12:45
Manchester United v.
Swansea City
- 15:00
Leicester City v.
Everton
- 15:00
Queens Park Rangers v.
Hull City
- 15:00
Stoke City v.
Aston Villa
- 15:00
West Bromwich Albion v.
Sunderland
- 15:00
West Ham United v.
Tottenham Hotspur
- 17:30
Arsenal v.
Crystal Palace
Sunday 17 August
English Barclays Premier League
- 13:30
Liverpool v.
Southampton
- 16:00
Newcastle United v.
Manchester City
Monday 18 August
English Barclays Premier League
- 20:00
Burnley v.
Chelsea
No comments:
Post a Comment