BUKOBA SPORTS

Saturday, August 30, 2014

EVERTON 3 vs 6 CHELSEA, BLUES AWASHIKIKI!! DIEGO COSTA AZIDI KUTAMBA, AFUNGA BAO MBILI LEO.


BAO 2 ndani ya Dakika 3 za kwanza ziliwapa Chelsea mwanzo mzuri Ugenini huko Goodison na Chelsea wakamaliza Mechi hii kwa ushindi wa Bao 6-3.Chelsea's Diego Costa celebrates scoring the first goal against Everton
Bao hizo za mapema za Chelsea, zenye utata wa Ofsaidi, zilifungwa na Diego Costa na Ivanovic.
Everton walipata Bao lao la kwanza katika Dakia ya 45 kupitia Mirallas.
Hadi Mapumziko Chelsea 2 Everton 1.Chelsea's Diego Costa scores his sides first goal of the game
Kipindi cha Pili, Chelsea walipiga Bao la 3 mfungaji akiwa Coleman, alirjifunga mwenyewe, na Naismith kuipa Everton Dakika 2 baadae lakini Chelsea wakapiga Bao la Nne kupitia Matic na Dakika 2 baadae Mchezaji mpya wa Everton, Samuel Eto’o akaipigia Everton Bao la 3.Chelsea's Diego Costa celebrates scoring the first goal against Everton
Huku Gemu ikiwa 4-3, Ramires akaipa Chelsea Bao la 5 katika Dakika ya 76 na Diego Costa akapiga Bao la 6 kuikata maini Everton.
Mapema Diego Costa aliifungia bao ndani ya dakika 1 ya kwanza na hapa akipongezwa na John Terry.Chelsea's Branislav Ivanovic celebrates scoring their second goal with Nemanja Matic
Bao la pili lilifungwa na Branislav Ivanovic katika dakika ya tatu 3'Chelsea's Branislav Ivanovic celebrates scoring their second goal with Nemanja Matic and Ramires2-0  Branislav Ivanovic akipongezwa.Kevin Mirallas celebrates after scoring the first goal for EvertonKevin akishangilia..bao lake la kwanza kwa Everton Chelsea's Diego Costa rues a missed one on oneDiego Costa akijilaumu baada ya kukosa bao la wazi..Diego Costa of Chelsea is confronted by Tim Howard of Everton after the 3rd Chelsea goalDiego kwenye tofauti na kipa Tim wa EvertonNemanja Matic of Chelsea celebrates scoring his team's fourth goalChelsea wakipongezana bao la nneRamires of Chelsea scores his team's fifth goal Ramires ndie aliyefunga bao la tanoDiego Costa of Chelsea scores his team's sixth goal Costa akihitimisha bao la sita na la mwisho..katika dakika ya 90Chelsea's Diego Costa celebrates scoring the sixth goal against Everton 3-6.

No comments:

Post a Comment