BUKOBA SPORTS

Sunday, August 31, 2014

TOTTENHAM 0 vs 3 LIVERPOOL

Raheem Sterling of Liverpool celebrates with team mates after scoring the first goal Majogoo Liverpool wameifunga Tottenham Uwanjani kwao White Hart Lane kwa Bao 3-0 katika Mechi ya Ligi Kuu England na kujipoza machungu ya kuchapwa Bao 3-1 Jumatatu iliyopita.
Hadi Mapumziko, Liverpool walikuwa Bao 1-0 kwa Bao la Dakika ya 8 la Raheem Sterling.
Raheem Sterling of Liverpool celebrates scoring the opening goal Raheem Sterling akishangilia bao lake
Kipindi cha Pili, Nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard, aliifungia Timu yake Bao la Pili kwa Penati iliyotolewa na Refa Phil Dowd baada ya Joe Allen kuchezewa rafu na Eric Dier.
Bao la Tatu lilifungwa na Alberto Moreno kwenye Dakika ya 60.
Mchezaji mpya wa Liverpool, Mario Balotelli Liverpool's Mario Balotelli shoots wide past Tottenham Hotspur's Hugo Lloris Mario Balotelli akiwajibika..leo kwenye mtanange wa kwanza na majogoo LiverpoolSteven Gerrard of Liverpool scores their second goal from the penalty spot Steven Gerard akifunga bao lake kwa mkwaju wa penati na likiwa bao la pili katika mchezo huoSteven Gerrard celebrates scoring a penalty with team matesWakipongezana...na kutakiana heri ya mafanikio kwendelea kufanya vyema!Liverpool's Alberto Moreno celebrates after scoring their third goalBao la tatu limefungwa na Alberto MorenoLiverpool's Alberto Moreno celebrates after scoring their third goalAlberto Moreno akishangilia bao na kupongezwa na wenzake..Tottenham Hotspur's Jan Vertonghen reacts after Liverpool's third goal Spurs hoi...kwao!!!Liverpool manager Brendan Rodgers shakes hands with Mario Ballotelli as he leaves the pitch after being substitutedMeneja Brendan akimongeza Mario.
VIKOSI:
Tottenham Hotspur:
Lloris, Dier, Kaboul, Vertonghen, Rose, Bentaleb, Capoue, Lamela, Eriksen, Chadli, Adebayor. 

Akiba: Chiriches, Holtby, Townsend, Kane, Dembele, Friedel, Davies.
Liverpool: Mignolet, Manquillo, Sakho, Lovren, Moreno, Gerrard, Henderson, Allen, Sterling, Balotelli, Sturridge. 

Akiba: Brad Jones, Jose Enrique, Toure, Lambert, Coutinho, Can, Markovic.
Refa: Phil Dowd

No comments:

Post a Comment